Sunday, January 27, 2013

KWA MWALIKO RASMI WA "RACHEL SCHARP" NA MIMI NILPATA BAHATI YA KUHUDHURIA UTAMBULISHO HUU WA ALBUM KWA VYOMBO VYA HABARI!!!

KING CHAVALA MC
 SASA MIMI HAPA NINAJITAMBULISHA TU,HUKU NYUMA RITA CHUWALO(MC WA SHUGHULI HII),HANA MBAVU,NASHINDWA KUELEWA,INA MAANA HATA UTAMBULISHO WANGU NI COMEDY AU???
THE KING OF STAND UP COMEDY ON THE STAGE!!!
HII ILIKUWA NI SHUGHULI YA KIPEKEE NA ILIYOPANGIKA VEMA,RACHEL SCHARP MWIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI ANAYEISHI MALMO-SWEEDEN ALIKUWA AKITAMBULISHA ALBUM YAKE YA PILI "NI MUNGU WA AJABU" MBELE YA WAANDISHI WA HABARI,AMBAO WENGI WALIKUWA NI WA VYOMBO VYA DINI NA CHRISTIAN BLOGGERS,AMBAPO ALISOMA PRESS RELEASE http://www.gospelstandardbase.blogspot.com/2013/01/hii-ni-taarifa-ya-mwimbaji-wa.html NA HATIMAYE KUIMBA NYIMBO KADHAA NA BAADAE NIKAFANYA COMEDY BAADA YA UPENDO KILAHIRO NA HATIMAYE TUKAPATA DINNER NA KUIAGA SIKU HIYO!!
UPENDO KILAHIRO NA RACHEL SCHARP
ALITOA RAI KWA WAIMBAJI WA MUZIKI WA KITANZANIA KUONA NI NAMNA GANI YA KUKIENZI KISWAHILI NA TAMADUNI ZETU MAANA ZINAPENDWA SANA SANA HUKO DUNIANI!!!

Picha ni kwa hisani ya k-junior.blogspot.com na gospelstandabase.blogspot.com

KING CHAVALA MC
+255-(713/753)-883 797
facebook.com/chavalapf
Twitter @kingchavala
lacs.project@gmail.com

Friday, January 25, 2013

KING CHAVALA (MC) MODERATING AND PRESENTING STAND UP COMEDY ON USTAWI EXPLO THIS FRIDAY!!!

KING CHAVALA MC
HII ILIKUWA NI IJUMAA TULIVU SANA, AMBAYO ILIWAKUSANYISHA WANAFUNZI WA VYUO VYA ISW,ARIDHI,UDSM NA WACHACHE KUTOKA VYUO VINGINE NA URAIANI KUANZIA 1730-2200HRS PALE ISW NA USIKU HUO ULIITWA "USTAWI EXPLO...TAKE +ACTION,ACHIEVE YOUR DREAMS!
TUKIO HILI LILIKUWA NA TALKS BY PAPAA ZE BLOGGER,NICE,SAMWEL NA REV.RON SWAI NA PIA KULIKWA NA WAIMBAJI KAMA VILE ISW PRAISE TEAM,ARDHI TAFES PRAISE TEAM,BLACKERS SDA WA ISW PAMOJA NA MBEYA FAMILY SAMBAMBA NA WAKONGWE BOMBY JOHNSON NA AMAN KAPAMA,KWELI ULIKUWA USIKU WA KIPEKEE NA MIMI NAMSHUKURU SANA MUNGU KUPATA NAFASI KUWA MC NA KUFANYA COMEDY PIA!!
UKIONA HADHIRA INACHEKA UJUE UMEFANYA KAZI!!

NAIPENDA KAZI YANGU,NAIJUA KAZI YANGU NA NAYAPENDA MAISHA YANGU!!

KING CHAVALA MC
+255 713 883 797/+255 753 883 797
facebook.com/chavalapf
Twitter @kingchavala
lacs.project@gmail.com

ERIC SHIGONGO....NI MMOJA WA MARAFIKI ZANGU AMBAYE HISTORIA YAKE INANICHANGAMOTISHA SAAAANA!!!

Mr. Eric Shigongo and King Chavala MC
HUYU NI MTANZANIA WA KIPEKEE TOKA HUKO USUKUMANI,ALIYEANZIA SIFURI KABISA MPAKA SASA NI SHUJAA WA UKWELI!!
SIWEZI ELEZEA HISTORIA YAKE HAPA MAANA HAPATOSHI.....HUYU NI KIJANA AMBAYE HAPO KWANZA ALIKUWA MASIKINI,ASIYEHESHIMIKA,WA CHINI SIFURI KABISA....LAKINI ALIYEKATAA KUFA NA HISTORIA HIYO NA KUAMUA KUJA DAR NA KUANZA KUPAMBANA INGAWA HAIKUWA RAHISI HIVYO LAKINI SASA ANAMILIKI ZAIDI YA MAKAMPUNI SITA YANAYOFANYA VIZURI SANA HAPA NCHINI NA MAARUFU ZAIDI NI GLOBAL PUBLISHERS LIMITED WACHAPISHAJI WA VITABU VYA HADITHI,MAKALA NA WACHAPAJI WA MAGAZETI PENDWA HAPA NCHINI KAMA VILE "UWAZI|", "IJUMAA","AMANI" NA HAYO MENGINE!!
SASA ANAFANYA BIASHARA ZA HUDUMA,BURUDANI NA MAHOTELI NA NYINGINE NYINGI!!

Saturday, January 19, 2013

KING CHAVALA(MC) KUWA SEHEMU YA MAFANIKIO YA CAMPUS NIGHT 2013,MOSHI KWA AJILI YA MOSHI NA ARUSHA!!

MC akimkaribisha King Chavala(MC)
 Shalom!
Ulikuwa mkesha wa Jana tar 18 2013 katika Viwanja vya CCM Mkoa Kilimanjaro!
Hapa nikienda sawa na Umati
Huyu jamaa kwa Mbwembwe na Bass Guitor usiombe,anaitwa Bass Guitor man
Abeidnego Hango akiongoza Kaloleni Woshipers
 Yaani ilikuwa ni full celebration,full networking,full socializing!!
Mch.D.Mtalitinya akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

How beautiful this Mkusanyiko is???
Wanafunzi wakifuatilia kwa makini kila kinachoendelea!!!

King Chavala on The Stage!!!
BEHIND THE SCENE.....
THIS IS WHAT THE VENUE LOOKED LIKE BEFORE THE NIGHT!!!
VENUE YA CAMPUS NIGHT

KING CHAVALA BEHIND THE SCENE!!

HAPA MC ANAJARIBU KUFANYA CHOMBEZO KABLA SIJAANZA!!
MCHUNGAJI DAVID NKONE AKIONGOZA MAOMBI BAADA YA SOMO

JOHN LISSU AKIENDA SAWA

DAVID NKONE AKIFUNDISHA
GUYA FROM NAIROBI
NEW LIFE BAND WAKIIMBA ACAPELLA
KWA KWELI ILIKUWA NI SIKU NJEMA SANA NA YA PEKEE,MAANA KWA UJUMLA WAKE MALENGO YA MKUSANYIKO HUO YALIFANIKIWA,ZAIDI YA WANAFUNZI 2000 TOKA VYUO VYA KILIMANJARO NA ARUSHA WALIKUSANYIKA KATIKA VIWANJA VYA CCM MKOA KUANZIA SAA TATU USIKU MPAKA ALFAJIRI NA TUKIO HILI LILIFUNGULIWA RASMI NA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,WANENAJI WALIKUWA GUYA TOKA NAIROBI NA DAVID NKONE TOKA DAR...WAIMBAJI WALIOPAMBA USIKU HUO WALIKUWA KILIMANJARO MASS CHOIR,KALOLENI WOSHIPERS TOKA ARUSHA,NEW LIFE BAND,JOHN LISSU TOKA DAR KWAYA ZA VYUO MBALIMBALI,GUYA NA WAIMBAJI WENGINE BINAFSI NA MIMI NILIKUWEPO KUWAKILISHA STAND UP COMEDY!!!

KING CHAVALA(MC)
+255-(713/753)-883 797
lacs.project@gmail.com
facebook.com/chavalapf
Twitter; @kingchavala

Wednesday, January 16, 2013

KING CHAVALA(MC) WITH MAC ELVIS IN DAR ES SALAAM,TANZANIA!!

MacElvis and King Chavala in Tanzania
 All children of God somehow they look alike.....aren't we???
Prosper Mwakitalima, MacElvis and King Chavala
It happened that i met this man of God and now we are very good friends!!
i love his humbleness,hardworking and uniqueness!!
He earned an East Africa Gospel Award as the the best Hip hop Artist last year and i am very grateful for Him!!
just check out the Combination of A Tanzanian Comedian and Ugandan Hip Hop Artist for the sake of the kingdom!!

Picrures by Michoro Photograph

TAARIFA FUPI KWA WASHIKA DAU WANGU WOTE!!!

After Moderating HEAVEN ON EARTH at Mzumbe University in Morogoro

I turned home and continuing with Other Businesses

Then On Sunday After Church Service, i went to attend the Thank giving Concert at Upper Room Church by Mac Elvis and it was real a good event, i am glad i got the chance to say JUST HELLO!!

i HAVE TAKEN MY TIME TO PREPARE FOR CAMPUS NIGHT IN MOSHI for Moshi and Arusha on 18th Jan 2013 fro 2000hrs till the morning!!

Then Arusha for some few things to do!!

Then back to Dar for a weekend before Going to Dodoma for 1 week leave!!

Check me out +255 -713/753-883797
kING Chavala!!

Thursday, January 10, 2013

POKEENI SHUKRANI ZANGU NINYI NYOTE MLIOIFIKISHA "LAUGH AGAIN CONCERT SERIES" HAPA HUSUSANI MPAKA MWISHO WA Season I(1)

 Habari zenu!
Ninaamini kuwa wote ni wazima na hata walio na madhaifu mbalimbali ya miili,muda sio mrefu mtakuwa sawa,hongereni sana kwa kuingia mwaka mpya wa 2013...HERI YA MWAKA MPYA!!!!
Toka nimeanza kufanya sanaa za jukwaani ni zaidi ya miaka kumi na mbili  sasa,na tangu nimeanza kufanya Comedy na Stand Up Comedy kwa kanisa ni zaidi ya miaka nane,lakini tangu jina limeanza kutajwa tajwa sana ni kama miaka sita hivi na kwa hapa Dar tangu nijitambulishe rasmi kwa sanaa hii ya Stand Up Comedy ni kama miaka mitano sasa,juu ya yote nataka niseme kwamba haijakuwa kazi rahisi hata kidogo kukubalika hususani kwa kile ninachokifanya,ila kwa mara ya kwanza nilipewa kibali cha kupresent kwa hadhira ya watu 12,000 ilikuwa 2009 na ilikuwa njema sana,haikuwa na mashiko saaaana kwasababu ya ukakasi wa watu kutoamini haraka kuwa hii inafaa au laaa,
Juhudi zaidi hazikukoma,nilizidi kufanya,kuelimisha na kufundisha wengine na nilijitahidi sana kuwaelezea watumishi mbalimbali wa Mungu kila tulipokutana,ila bado haikuwa haraka hivyo...wengi walionya kwa ukali,wengine wakanifokea na hata kunisema madhabahuni kuwa watu wasiambatane na mizaha hii kwa kanisa,lakini bado sikukata tamaa kwasababu nilijua for sure watu wataelewa tu siku moja. Kilichonisaidia kiasi fulani ni network ambayo nilikuwa nimejijengea hasa kati ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambako mimi pamoja na wenzangu tulikuwa na NGO ambayo kwayo tulifanya Movements za kueleweka na hata sasa bado NGO hiyo ipo na baada ya kuwa kimya kwa muda itarudi tu kwenye mstari,inaitwa HEROES MOVEMENT TANZANIA
Baadae baada ya kufanya na kufanya huku na kule hususani Jijini Dar es Salaam niliazimia kuanzisha project maalum ya matamasha ya Stand Up Comedy na Vipaji halisi....haikuwa kazi ahisi kuanza lakini baada ya.............ITAENDELEA!!!

King Chavala
+255 713 883 797
Facebook; www.facebook.com/chavalapf
Twitter; @kingchavala

Thursday, January 3, 2013

KING CHAVALA AFUNGA SEASON ONE KWA "OMEGA DE ONE!!!" NDANI YA HEMA HEMA LA KISASA LA VCCT,MBEZI BEACH A TAR 30TH DEC 2012!!!

 KWA MBALI ANAONEKANA MC RICHARD CHIDUNDO AKIANZA KUSHEREHESHA NA KUTOA MWONGOZO WA TAMASHA!!
1st Q Dancers wakiwa jukwaani kwa ajili ya Dance


WAKIENDA SAWA NA MIONDOKO YA KISASA

KING CHAVALA AKITAFAKARI KABLA YA KUPANDA JUKWAANI

RAPHAEL RYOBA,fundi Mitambo akiwa Mpello,Parvina na Samwel Yona

1st Q ndani ya Miondoko ya Sebene

Sehemu ya Wageni Waalikwa wakifuatilia kwa makini,Kiti cha mwanzo ni MAMA MERY WA YESU!!

 KWA HAKIKA UKUMBI ULIFURIKA,KILA MMOJA AKIWA NA SHAUKU YA KUCHEKA TENA!!
WAGENI WAALIKWA WAKIFUATILA KWA MAKINI....OMEGA DE ONE!!!

Mmoja ya Wa Wachezaji wa 1st Q,Belinda Lifard akiwa na Ushuhuda wa December!!

CAROLINE JESSE AKIFANYA USHAIRI WA KIZUNGU

King Chavala akiingia Ukumbini huku akisindikizwa na 1st Q Dancers

King Chavala akiwa jukwaani

 HAPO MNATAKIWA MCHEZE HIVI........NI MAAGIZO KWA DANCERS
Hapo je? Chavala anayaweza?

Clown Chavala a.k.a The King Of Stand Up Comedy akifanya Stand Up Comedy!!

 KWA HAKIKA HILI NI TAMASHA AMBALO LILIKUWA LA KIPEKEE SANA!!!
Prosper mwakitalima pia ni kati ya hadhira waliohudhuria tamasha hili!!

MC Chavala akiendelea jukwaani!!

 KWA HAKIKA TUNAMSHUKURU SANA MUNGU KWA KUTUWEZESHA KUFANYA MATASHA SABA NA TOURS NYINGI NA HATIMAYE KUFIKA MPAKA HAPA,HATIMAYE SEASON ONE IMEKWISHA ,SASA TUNATARAJI KUFUNGUA SEASON TWO MWEZI APRIL 2013!!!
AHSANTE KWA NDUGU,JAMAA,MARAFIKI,WASHIKA DAU,MARAFIKI,WATUMISHI NA WANAKAMATI WA LAUGH AGAIN CONCERT SERIES!!!!