Tuesday, February 26, 2013

BIBI KALLOVA AMEPUMZIKA KWA AMANI!!!

NILIPATA TAARIFA ALHAMISI JIONI NA KUSAFIRI IJUMAA USIKU NA KUFIKA IRINGA ASUBUHI YA JMOSI NA MCHANA NIKAAGA NA TUKAMZIKA ALASIRI,NI BIBI YANGU,RAFIKI NA MSHAURI MZURI SANA,HUYU NDIYE MAMA WA BABA YANGU,NDIO ALITESEKA KWA MUDA MREFU PAMOJA NA UZEE BASI IKAWA CHANGAMOTO,AMELALA AMEPUMZIKA KWA AMANI BAADA YA MAISHA YAKE NA MATESO YOTE KIPINDI HIKI CHA MWISHONI,BIBI ALIKUWA MCHAPA KAZI MNO,NA NATAMANI WAKINA NYAMOGA WOTE WAIGE MFANO WAKE,AMEACHA WATOTO 10,WAJUKUU 41 NA VITUKUU 10,NA KATIKA HAO WAJUKUU MIMI NDIO 1ST GRAND SON!!
AHSANTENI WOTE MLIOTUFARIJI NA KUJITOA KWETU TANZANIA NZIMA!!
AHSANTENI REDIO ZA IRINGA NA WANA-IRINGA!
MUNGU AWABARIKINI NYOTE!!

KING CHAVALA
KWA NIABA YA JAMII YA AKINA CHAVALA TANZANIA!!

Friday, February 22, 2013

MAKALA NDANI YA TANZANIA DAIMA LEO TAR 22/02/2013!!

KING CHAVALA: Msomi anayetaka kuleta mabadiliko fani ya uchekeshaji

“IMEKUWA kawaida kwa wasanii wa vichekesho kupenda ama kuwa na hulka ya kuchekesha huku wakiwa katika hali ya uchafu na kutokuwa na elimu ya kutosha, hivyo mimi licha ya kuwa msomi wa chuo kikuu nimeamua kuwa mchekeshaji.”

Hayo ni maneno ya msanii, Fred Chavala ‘King Chavala’, ambaye anasema ili kubadili hali hiyo ameamua kuleta mageuzi ya tasnia ya uchekeshaji kwa kuleta ‘Standard Comedy’ nchini.

Chavala ambaye ni mhitimu wa fani ya Usimamizi wa Biashara na Utawala, amejiajiri katika kazi ya uchekeshaji, ambayo huifanya katika majukwaa na matamasha mbalimbali nchini.

“Pia ninafanya kazi kama mshauri wa kujitegemea wa Usimamizi wa Biashara na Utawala katika sehemu mbalimbali na hata kwa mtu mmoja mmoja,” anasema.

Katika harakati zake za kuingia kwenye usanii, Chavala anabainisha kwamba, binafsi ndiye alijigundua kwamba ana kipaji, hivyo akaweka nguvu zaidi ili aweze kukiendeleza na kudai amefanikiwa katika hilo.

“Baada ya kugundua kwamba nina kipaji na kinalipa, nikaamua kujikita huko zaidi, hapa simaanishi kwamba kuna fedha nyingi sana la hasha, bali namaanisha kwamba, huku kuna amani, hakuna vurugu na nimeridhika kuwa huko,” anasema Chavala.

Akizungumzia kuhusu kazi, anasema kwamba anafanya kazi hata kwa mwezi mmoja bila ya kupata fedha, lakini kwa kuwa ana amani moyoni, huwa anaridhika na kazi zinakwenda.

Akifafanua kilichosababisha asipende kuajiriwa, anasema kwamba, kazi ya kutumwa ni sawa na utumwa, hivyo baada ya kujitambua ana vipaji na hasa katika uchekeshaji, akaamua kufanya kazi hiyo kwa kujiajiri mwenyewe mwaka 2001.

Hata hivyo, katika utekelezaji wa majukumu yake, anasema anakumbana na changamoto mbalimbali, lakini kubwa linalomkabili ni namna watu wanavyochukulia sanaa ya uchekeshaji kama ni kuvaa nguo chafu au kuvaa malapa, yaani kwa ujumla kutokuwa nadhifu.

“Kutokana na hali hiyo, nikawa na wazo moja la kutaka kubadili mtazamo huo na nilipomaliza elimu yangu ya chuo kikuu nikaamua kuwa mchekeshaji msomi, ninayeijua kazi yangu kwa kuifanya kitaalamu zaidi,” anasema.

Chavala anawataja baadhi ya watu waliomvutia kisanii kuwa ni pamoja na Chrisrock wa nchini Marekani, Mr. Bean wa Uingereza, Charlie Chaplin na Nouh Travor wa Afrika Kusini.

Anasema yeye huwa anawaangalia sana wachekeshaji hao, huku akitamani siku moja Watanzania weweze kumuelewa kila anachokifanya.

Malengo yake ya sasa msanii huyu anasema ni kutoa elimu kwa kuwafundisha baadhi ya watu, ili waweze kufanya ‘Standard Comedy’ kwa mafanikio makubwa.

Ndani ya mwaka huu, anasema amejiwekea malengo ya kufundisha watu wasiopungua 200 katika mikoa mitano nchini, ambapo atafanya ziara maalumu.

Anasema, ziara hiyo ambayo ataanza kuifanya kati ya Julai hadi Desemba mwaka huu, atazuru mikoa ya Mwanza, Dar es Salaam, Arusha, Tanga, Dodoma na Mbeya.

Chavala anaongeza kuwa kazi hiyo anafanya kwa kujitolea zaidi, kwani amejaribu kuomba udhamini lakini hadi sasa anapoteza matumaini ya kupata na kusisitiza kwamba, yeye atatimiza njozi hiyo ya kutoa elimu hata kama atakosa udhamini.

Wito wake kwa wazazi, Chavala ametaka kuwapa nafasi watoto wao ambao wanaonesha wana kipaji fulani na kudai kwamba hata yeye awali alipata wakati mgumu sana kuelewana na wazazi wake, kwani hawakumuunga mkono katika chaguo lake la kazi anayoifanya, tofauti na alichokisomea shuleni na chuoni.

Kwa upande wa vijana, amewataka kupenda mambo yenye asili ya Kitanzania, badala ya kuendekeza vitu vya nje na kuongeza kwamba, hii ndiyo sababu kubwa iliyomfanya kutaka kutoa elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa kuipenda sanaa, kwani kupitia huko wanaweza kujiajiri na kupambana na changamoto mbalimbali katika maisha.

King Chavala anasema katika matarajio yake anatamani siku moja awe balozi wa wachekeshaji, ambaye atapeperusha vema bendera ya nchi ikiwamo kufanya kazi Hollywood.

Historia ya Chavala inaonesha elimu yake ya msingi aliipata katika Shule ya Mwenge, Dar es Salaam kabla ya kujiunga na kidato cha kwanza hadi cha nne katika Sekondari ya Viwawa mkoani Mbeya na kidato cha tano na sita katika Shule ya Ufundi Tanga.

Pamoja na kuwa mchekeshaji, pia tayari ameandika vitabu viwili vyenye maudhui ya kuleta uhamasishaji miongoni mwa wasomi, ambavyo ni ‘No More School For You’ na ‘Can a Black Balloon Fly’.

Mbali ya kuwa mchekeshaji, King Chavala ni mwimbaji wa nyimbo za muziki wa Injili na mshereheshaji (MC), katika shughuli mbalimbali kama harusi, matamasha ya kidini, mikutano, semina, misiba na matukio mbalimbali.

SOURCE;http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=45997

Sunday, February 17, 2013

'SIWEZI KUWAFANYA MCHEKE IKIWA MIMI SICHEKI MOYONI"-KING CHAVALA

Shalom!
What's up?
Habari yako ndugu yangu,nakuita ndugu yangu kwasababu namaanisha na ninakuona hivyo,kwasababu kama umechukua time yako na kutembelea Blog yangu maana yake umeona kuna jambo la muhimu au nina umuhimu kwako,hata kama sio sana!
Mimi ninamshukuru Mungu sana kwa ajili yako,ninazidi kupiga hatua nyingi zaidi mbele na ninaamini ni kwasababu wewe rafiki na shabiki yangu upo kunitia moyo!
Leo nimetamani niseme jambo hili kwa watu wangu na hii ndio siri ya kipekee iliyojifinya sana!

"SIWEZI KUWAFANYA WATU WACHEKE IKIWA MIMI SICHEKI NDANI YANGU"
Niwapo katika jukwaa la kufanya Stand Up Comedy popote pale kwangu ni madhabahu,ni madhabahu kwasabu mimi sichukulii kama ni burudani tu bali ni mahali pangu pakufikisha habari njema kwa njia ya sanaa hiyo ya ucheshi!
*Inanichukua muda kusoma mambo mengi na kupata muda wa kuyatafakari yale yote ambayo yako katika vipaombele vangu!
HAKUNA NAMNA NAWEZA KUFANYA CHRISTIAN COMEDY BILA KUSIMAMIA MAANDIKO,NA HAUNA NAMNA NAWEZA KUFANYA CHRISTIAN COMEDY AMBAYO MWISHO WA SIKU INALITUKANISHA JINA LA YESU AU KUUDHARAULISHA UKRISTO!!
*Inanichukua muda zaidi wa ku-tengeneza script za skit mpya nilizotunga au ambazo ninazo akiba kuunganisha na maada husika ambayo inahusu mahali nilipo au niliyokusudia moyoni!
*Inanichukua muda wa kutafakari tena kwa upya kwa ujumla,yaani skit-script na muunganiko na maada husika na hapo navaa uhusika wa hadhira na kuona inapokelewaje,na mpaka pale ambapo naona inaleta sense na moyoni ipo amani ya kutosha kuendelea ndipo nasema sasa hii ndio presentation!
*Sasa mwisho sio kwa umuhimu ni kupata muda wa kutosha kuomba special annoint,na hapa ndio ninamshangaa Mungu maana nikiwa katika maombi inaweza ikatokea mpangilio wote wa presentation ukabadilika/ukaboreka au ukabaki uleule lakini wa kufurahisha sana,na hapo ndipo na mimi hucheka sana huku nafsi yangu ikiamanika na kupona ....maana maandiko yanasema Nafsi iliyochangamka ni Dawa! na kwa kuwa Bwana mwenyewe ndio alisema kuwa ataziondoa huzuni zetu na machozi na kutujaza vicheko,basi mpaka pale ninapokuwa nimeaanika moyoni na kucheka sana,ndipo hapo nakuwa niko tayari kuachilia huo upakpo maalumu wa kicheko kwa kila aliyejiandaa kupokea!
Kwa kiingereza wanasema......Releasing the spirit of Laughter/Joy!!
MARA ZOTE HUWA NI MAOMBI YANGU KUWA KILA NIFANYAPO COMEDY POPOTE PALE,BASI ROHO WA BWANA WA UPONYAJI,WA FURAHA,WA KICHEKO NA FURAHA ATEMBEE KWA KILA MTU NA ZAIDI,MUNGU MWENYEWE AHUSIKE KATIKA KUPONYA WAGONJWA,KUWAFUTA WATU MACHOZI YAO NA KUUONDOA UCHUNGU WAO NA ZAIDI KUWAPA UHUISHO MPYA NA WATOKE WAKIWA HAWANA STRESS KABISA!!!

Hivyo nimetamani mjue kuwa ikiwa mimi niko na streess au napita mahali pagumu ambako niko katika utulivu,basi hamna namna naweza kufanya wewe ukacheka,maana ikiwa sina kicheko ndani yangu,je wewe utapata nini?
HIVYO UKIWA MMOJA YA MARAFIKI AU MASHABIKI AMBAO UNGEPENDA HUDUMA YANGU IZIDI KUKUA,BASI USIACHE KUNIOMBEA AMANI NA UTULIVU WA BWANA KILA SIKU,ILI KILA MARA NISIMAMAPO NIWE NACHEKA MOYONI ILI IWE RAHISI KWAKO NA WENGINE WOTE KUPOKEA MGUSO WA KICHEKO TOKA MADHABAHU YA JUU YA MUNGU MWENYEWE!

BY CHAVALA(MC)

Thursday, February 7, 2013

WHAT IS STAND UP COMEDY??? (1)

HELLO DEAR READERS AND FANS!!

I DO HOPE AND BELIEVE THAT EVERYBODY IS WELL!!

FOR SOMETIME NOW I HAVE BEEN RECEIVING A LOT OF QUESTIONS CONCERNING THE TYPE OF ART THAT I HAVE FOUNDED IN TANZANIA ESPECIALLY IN A CHRISTIAN WORLD, I AM SURE MANY ARE NOT AWARE AT ALL, BUT NOW I HAVE DECIDED TO WRITE AN ARTICLE CONCERNING THE NATURE,ORIGIN AND WHAT EXACTLY IT IS!!

HERE IS THE DETAILED EXPLANATION ABOUT "STAND UP COMEDY"


Stand-up comedy is a comedic style in which a comedian performs in front of a live audience, speaking directly to them. The performer is commonly known as a comic, stand-up comic, stand-up comedian or simply a stand-up.

In stand-up comedy the comedian usually recites a fast-paced succession of humorous stories, short jokes called "bits", and one-liners, which constitute what is typically called a monologue, routine or act.

Some stand-up comedians use props, music or magic tricks to enhance their acts. Stand-up comedy is often performed in comedy clubs, bars, neo-burlesques, colleges, and theaters.

Outside of live performance, stand-up is often distributed commercially via television, DVD, and the internet.


GENERAL OVERVIEW

Stand-up is an art form that is openly devoted to getting immediate laughs from an audience above all else, unlike theatrical comedy which creates comedy within the structure of a play with amusing characters and situations. In stand-up comedy, feedback of the audience is instant and crucial for the comedian's act. Audiences expect a stand-up comic to provide a steady stream of laughs, and a performer is always under great pressure to deliver. This pressure can be thrilling, but also threatening. Comedic actor Will Ferrell has called stand-up comedy "hard, lonely, and vicious".

While a stand-up comedy show may involve only one comedian, most shows feature a "headline" format, or a "showcase" format[citation needed]. A headline format typically features an opening act known as a host or master of ceremonies (MC) who usually warms up the crowd, makes announcements, and introduces the other performers. This is followed by one or two "middle" or "featured" acts, who perform shorter 15-20 minute sets, followed by a headliner who performs for longer, usually over 45 minutes.

The "showcase" format consists of several acts who perform for roughly equal lengths of time, typical in smaller clubs such as the Comedy Cellar, or Jongleurs, or at large events where the billing of several names allows for a larger venue than the individual comedians could draw. A showcase format may still feature an MC.[citation needed]

Many smaller venues hold "open mic" events, where anyone can take the stage and perform for the audience, offering a way for amateur performers to hone their craft and possibly break into the profession.


According to History

United Kingdom

The United Kingdom has a long heritage of stand-up comedy, which began in the music halls of the 18th and 19th centuries. Notable performers who rose through the twentieth century music hall circuit were Morecambe and Wise, Arthur Askey, Ken Dodd and Max Miller, who was considered to be the quintessential music-hall comedian. The heavy censorship regime of the Lord Chamberlain's Office required all comedians to submit their acts for censorship. The act would be returned with unacceptable sections underlined in blue pencil (possibly giving rise to the term "blue" for a comedian whose act is considered bawdy or smutty). The comedian was then obliged not to deviate from the act in its edited form.

At the end of World War II, many members of the Armed Forces had developed a taste for comedy (stand-up or otherwise) in wartime concert parties and moved into professional entertainment. Eric Sykes, Peter Sellers and the other Goons, and Tommy Cooper all began their careers this way. The rise of the postwar comedians coincided with the rise of television and radio, and the traditional music hall circuit suffered greatly as a result. Whereas a music hall performer could work for years using just one act, television exposure created a constant demand for new material, although this may have also been responsible for the cessation of theatrical censorship in 1968.

By the 1970s, music hall entertainment was virtually dead. Alternative circuits had evolved, such as Working Men's Clubs. Some of the more successful comedians on the Working Men's Club circuit - including Bernard Manning, Bobby Thompson, Frank Carson and Stan Boardman - eventually made their way to television via such shows as The Wheeltappers and Shunters Social Club. The "alternative" comedy scene also began to evolve. Some of the earliest successes came from folk clubs, where performers such as Billy Connolly, Mike Harding and Jasper Carrott started a relatively straight musical acts whose between-song banter developed into complete comedy routines. The 1960s had also seen the satire boom, including the creation of the club, The Establishment, which, amongst other things, gave British audiences their first taste of extreme American stand-up comedy from Lenny Bruce. Victoria Wood launched her stand-up career in the early 1980s, which saw observational conversation mixed with comedy songs. Wood was to become one of the country's most successful comedians, in 2001 selling out the Royal Albert Hall for 15 nights in a row.

In 1979, the first American-style stand-up comedy club, the Comedy Store, London was opened in London by Peter Rosengard, where many alternative comedy stars of the 1980s, such as Dawn French and Jennifer Saunders, Alexei Sayle, Craig Ferguson, Rik Mayall and Ade Edmondson began their careers.[4] The stand-up comedy circuit rapidly expanded from London across the UK. The present British stand-up comedy circuit arose from the 'alternative' comedy revolution of the 1980s, with political and observational humour being the prominent styles to flourish. In 1983 young drama teacher Maria Kempinska created Jongleurs Comedy Clubs, now the largest Stand-up comedy chain in Europe.

It is believed that stand up comedy was originally performed as a one man show. Lately, this type of show started to involve a group of young comedians, especially in Europe

IN AMERICA
North American stand-up comedy has its roots in various traditions of popular entertainment of the late 19th century including vaudeville, English Music Hall, Minstrel shows, humorist monologues by personalities such as Mark Twain and Norman Wilkerson, and circus clown antics. Comedians of this era often donned an ethnic persona—African, Scottish, German, Jewish—and built a routine based on popular stereotypes. Jokes were generally broad and material was widely shared, or in some cases, stolen.

The founders of modern American stand-up comedy include Jack Benny, Bob Hope, George Burns, Fred Allen, Milton Berle and Frank Fay all of whom came from vaudeville. They spoke directly to the audience as themselves, in front of the curtain, known as performing "in one". Frank Fay gained acclaim as a "master of ceremonies" at New York's Palace Theater and is credited with creating the style of 20th century stand-up.

Nightclubs and resorts became the new breeding ground for stand-ups. Acts like Alan King, Danny Thomas, Don Rickles, Joan Rivers, and Jack E. Leonard flourished in these new arenas.


In the 1950s and into the 1960s, stand-ups like Mort Sahl began developing their acts in small folk clubs like San Francisco's hungry i or New York's Bitter End. These comedians added an element of social satire and expanded both the language and boundaries of stand-up venturing into politics, race relations, and sexual humor. Lenny Bruce became known as 'the' obscene comic when he used language that usually led to his arrest. After Lenny Bruce, arrests for obscene language on stage nearly disappeared until George Carlin was arrested on 21 July 1972 at Milwaukee's Summerfest after performing the routine "Seven Words You Can Never Say on Television"[6] (the case against Carlin was eventually dismissed).

Other notable comics from this era include Woody Allen, Shelley Berman, Phyllis Diller, and Bob Newhart. Some Black-American comedians such as Redd Foxx, George Kirby, Bill Cosby and Dick Gregory began to cross over to white audiences during this time.


Stand-up in the 1970s saw several entertainers becoming major stars based on stand-up comedy performances. Richard Pryor and George Carlin followed Lenny Bruce's acerbic style to become icons. Stand-up expanded from clubs, resorts, and coffee houses into major concerts in sports arenas and amphitheaters. Steve Martin and Bill Cosby had levels of success with gentler comic routines. The older style of stand-up comedy (no social satire) was kept alive by Rodney Dangerfield and Buddy Hackett, who enjoyed revived careers late in life. Television programs such as Saturday Night Live and The Tonight Show launched the careers of other stand-up comedians, including Bill Maher and Jay Leno.

From the 1970s to the 90s, more nonsensical styles of comedy began to emerge, led by the madcap stylings of Robin Williams, the odd observations of Jerry Seinfeld and Ellen DeGeneres, and the ironic musings of Steven Wright. These comedians would serve to influence the next generation of comedians, including Eddie Murphy, Bill Hicks, Bill Burr, David Cross, Louis C.K., Hannibal Buress, Mitch Hedberg, Dave Foley, Todd Glass, Joe Rogan, and Sarah Silverman.


VENUES OF PERFORMANCES
 

Stand-up comedy is the focus of four major international festivals: the Edinburgh Festival Fringe in Edinburgh, Scotland; Just for Laughs in Montreal, Canada; HBO's U.S. Comedy Arts Festival in Aspen, CO, and the Melbourne International Comedy Festival in Melbourne, Australia. A number of other festivals operate around the world, most prominently The Comedy Festival in Las Vegas, the Vancouver Comedy Festival, the New York Comedy Festival, the Boston Comedy and Film Festival, the New York Underground Film Festival, the Sydney Comedy Festival, and the Cat Laughs Comedy Festival in Kilkenny, Ireland. Radio hosts Opie and Anthony also produce a comedy tour called Opie and Anthony's Traveling Virus Comedy Tour, featuring their own co-host, Jim Norton as well as several other stand-up comedians regularly featured on their radio show. There is also a festival in Hong Kong called the HK International Comedy Festival.

The festival format has proven quite successful at attracting attention to the art of stand-up, and is often used as a scouting and proving ground by industry professionals seeking new comedy talent.
Other media
Many of the earliest vaudeville-era stand-ups gained their greater recognition on radio. They often opened their programs with topical monologues, characterized by ad-libs and discussions about anything from the latest films to a missed birthday. Each program tended to be divided into the opening monologue, musical number, followed by a skit or story routine. A "feud" between Fred Allen and Jack Benny, was used as comic material for nearly a decade.

HBO presented comedians uncensored for the first time, beginning with Robert Klein in 1975, and was instrumental in reaching larger audiences. George Carlin was a perennial favorite who appeared in fourteen HBO comedy specials.

Continuing that tradition, most modern stand-up comedians use television or motion pictures to reach a level of success and recognition unattainable in the comedy club circuit alone.
Since the mid-2000s, online video-sharing sites such as YouTube have also provided a venue for stand-up comedy, and many comedians' performances can be viewed online


MANY UP COMING COMEDIANS HAVE NO IDEA EVEN WHAT STAND UP COMEDY IS,BUT STILL THEY CLAIM THAT THEY DO STAND UP COMEDY!!

HERE I HAVE JUST TRIED TO SHARE THE INTRODUCTION PART OF MY ARTICLE,SO STAY TUNED FOR FURTHER STUFFS!!!


I WILL TALK ABOUT THE HISTORY OF IT IN AFRICA,THEN IN TANZANIA AND I WILL GIVE THE LIST OF BEST STAND UP COMEDIANS OF THE WORLD,AFRICA AND TANZANIA....


.....TO BE CONTINUED!!!!

BY

CLOWN CHAVALA (MC)

"The King Of Stand Up Comedy"

The Pioneering founder of Stand Up Comedy in Tanzania

Friday, February 1, 2013

REV.DK HURUMA NKONE NI MMOJA YA WATU WA MUHIMU SANA KWANGU!!!

SHALOM!
Clown Chavala a.k.a The Don of Comedians
 INAPENDEZA SANA KUONA BABA YAKO WA KIROHO ANAPENDA KAZI YAKO,ANAKUTIA MOYO NA NDIO MMOJA WA MENTOR WAKO!!
 BABA NAKUPENDAJE!!!!? NAOMBA UAMKE BASI NIKUHUG!!!
Rev.Dk Huruma Nkone and King Chavala
HAPA ILIKUWA NI BAADA YA KUFANYA COMEDY WAKATI WA UZINDUZI WA ALBUM YA AMANI KAPAMA NDANI YA VCCT-MBEZI BEACH-A MWISHONI MWA MWAKA JANA 2012!!
NAMPENDA SANA MCHUNGAJI HUYU NA HUYU NI BABA YANGU MAANA AMEKUWA RAFIKI YANGU TANGU 2006 NA HATA SASA BADO TUNATUMIKA PAMOJA,NA NAFARIJIKA KUCHUNGWA NAYE!!

......JUST STAY INFORMED!!!

LAUGH AGAIN WITH....KING CHAVALA

ACHENI MADAWA YA KULEVYA,KWELI YANALEVYA ETIIII!!!

Juzi kati nilimkuta teja mmoja mbele ya nyumba fulani kule kinondoni kwa rafiki yangu na huyo Teja alikuwa busy anahangaika kama anatafuta kitu vile,so nikaamua kumsemesha yamkini naweza kumsaidia jambo;
Mimi; Hello Niaje?
Teja; Barida mwana
Mimi; Vipi mwanangu unatafuta nini hapa?
Teja; Mwana nimeangusha ufunguo wa kipadi cha Gheto aiseee,yaani hapa ukamu kishenzi yaani!
Mimi; Kwani Umeangusha hapa? mbona mwanga kibao ingeshaonekana?
Teja; Mmmh nimeangusha kuleeeee(huku akinyosha kidole mbali)
Mimi;Aaah sasa kama umeangusha kule iweje utafute hapa?
Teja; Mwanaaaa kule nilikoangusha nimeona giza kishenzi yaani na sioni kitu,so nimekuja kutafuta hapa maana nimeona hapa kuna mwangaaaaaa
Mimi; Mmmh haya mwanaaaa barida! (IKABIDI NICHEKE KIMOYO MOYO MPAKA NINAONDOKA HAHAHAHAHAH)

...DAH MIMI NILICHOKA KWA KWELI,ILA MADAWA MABAYA,TUACHENI BASI!!!