Tuesday, May 21, 2013

WHY "23TH OF MAY" IMPORTANT TO ME??????????????

Fredy E. Chavala with His parents and his Younger Sister,Hilda in late 1980's
Shalom!!!
NINAYO HESHIMA KUBWA SANA KUWASLIMIA WAZAZI WANGU WAPENDWA MR.ERASTO & MRS.OLIVER CHAVALA,NA ZAIDI KUWASHUKURU KWA MALEZI YOTE MPAKA HAPA NILIPO LEO.....KWA HAKIKA NINAWAPENDA SANA!!

Ninawasalimia ndugu jamaa na marafiki na washika dau wote wa Stand Up Comedy na King Chavala kote duniani!
Kila tarehe 23/05 ya kila mwaka,huwa ni siku ya muhimu sana maishani mwangu kwasababu ndio siku ambayo mshale wa mwaka hufika ZERO na kuanza upya tena,ni siku ambayo nilikuja ulimwenguni humu kuanza kazi iliyonileta,ndio siku inayoongeza umri wangu na kupunguza muda wangu uliobaki hapa duniani,ndio siku ya kumshukuru Mungu sana na wazazi kwa malezi bora na utunzaji wa zawadi hii muhimu!
TANGU SASA NA KUENDELEA TAREHE HII ITAKUWA SIKU YA U-SMART/USAFI DUNIANI,sasa kama zote huwa mnaita kutokana na majina ya waazinilishi basi hii itaitwa "CHAVALA DAY......Siku ya usafi duniani"

Labda natania kwasababu mimi ni comedian lakini namaanisha in term of future expectation!!
SIKU HII NI NZURI MNO,NAMI NIMEPANGA KUSHEREKEA NA MARAFIKI MBALIMBALI....Kwanza siku hiyo hiyo au siku nyingine kwa niaba ya hiyo(maana hiyo ni siku ya kazi); Nitakwenda kuwaslimia Watoto Wa Mungu(Yatima) na kutumia siku yangu nzima pamoja nao,lakini usiku wa Tar 23 hiyo nitakuwa CBE-TAFES FAMILY,PALE A.17,pamoja na wanafamilia tukisherekea pamoja na kujikumbushia enzi hizo za uanafunzi.

Na siku ya jmosi 25/05/2013 tutakuwa na safari ya kwenda Bagamoyo kwa ajili ya kujifunza na kutalii,basi kama wewe umezaliwa mwezi May au ungependa tu kwenda na sisi basi wasiliana nasi kwa haraka........safari ya kwenda na kurudi kwa 15,000/= tu....NA SAFARI HII TUTAAMBATANA NA WANAFUNZI WA CHUO CHA AFYA,HKMU-MIKOCHENI

Ahsante wote kwa kuendelea kuwa na imani na mimi,ahsanteni wote msiochoka kuniombea,kunichangia michango ya aina zote,ya hali na mali,AHSANTENI SANA MARAFIKI,KAKA NA DADA ZANGU,KILA MMOJA ALIYESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUYAFANYA MAISHA YANGU YAFIKE HAPA NILIPO NA APOKEE SANA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI!!

MUNGU AMENIPA UPENDELEO WA UHAI NA UZIMA TELE,VIPAJI LUKUKI NA ZAWADI A KIROHO NYINGI,NAJUA ANAYO MAKUSUDI NA MIMI,OLE WANGU KAMA SITAFANYA KAMA VILE MUNGU ANITAKAVYO NIFANYE!

Maisha yangu ni kwasababu ya Mungu,ninaishi na Mungu na ni kwa ajili ya Mungu.....basi Mungu wangu na awabarikini nyote!!

HAPPY BIRTHDAY DEAR MIMI!!!
King Chavala-MC
+255 713 883 797

Sunday, April 28, 2013

MATUKIO KATIKA PICHA KAMA ILIVYOKUWA WAKATI WA UZINDUZI WA ALBUM YA PAUL CLEMENT!!

Paul Clement akiwa jukwaani
Paul Clement pamoja na team yake

KUNDI JIPYA MJINI


KING CHAVALA-MC nikitambulisha MIRIUM MAUKI JUKWAANI

Mirium Lukindo wa Mauki aking'ang'ana jukwaani siku hiyo!

King Chavala on The Stage



HATA MIMI PIA NILIKUWA MMOJA YA WAHUDUMU WAALIKWA....NA MIMI HAPA NILIKUWA NIKIENDA SAWA NA HADHIRA YANGU!
Bomby Johnson naye pia aliogelea kwenye damu ya Yesu mpaka akaokoka

Mpello Kapama nae pia alikuwepo siku hiyo

Papaa Sebene,MC pamoja nami siku hiyo!

King Chavala MC wa shughuli pia
Samuel Sasalo a.k.a Papaa Ze Blogger & Clown Chavala a.k.a The King Of Stand Up Comedy,Ma-MC wa siku hiyo ya Paul Clement katika picha ya Pamoja.



Dr Edda Wandi,Mzee wa kanisa Kiongozi VCCT kwa Niaba ya Rev.Dk Huruma Nkone akisema neno kabla ya kuweka wakfu album ya Paul Clement
KWA HAKIKA WATU WALIOKUWEPO WALIJITOA KUMCHANGIA KIJANA HUYO,KILA MMOJA KWA KADRI ALIVYOSUKWA MOYONI KWA HIARI YAKE!
Hawa ni baadhi ya wachangiaji Joshua makondeko,Mirium Mauki,John Marco,Emmanuel Kwayu na Bwana Noel na mkewe Nice Tenga
UZINDUZI HUU WA ALBUM ULISIMAMIWA NA KAMPUNI YA MANCON EAST AFRICA LTD AMBAYO PIA NDIO INAHUSIKA NA USAMBAZAJI WA KAZI HIZO PAMOJA KUMSIMAMIA PAUL CLEMENT!
Prosper Alfred Mwakitalima,MD-MANCON E.LTD Akibubujika kumshukuru Mungu.

kWAITO BHANA!

BASI KAMA ILIVYO ADA MWISHO WA SHUGHULI HUWA NI CELEBRATION YA NAMNA YAKE,BASI HAPA KWA PAMOJA TULIPOMOKA NA KUSHEREKA KWA SEBENE PAMOJA NA KWAITO KABLA YA KWENDA HOME.

NINAMTAKIA KILA LAKHERI PAUL CLEMENT KATIKA UTUMISHI WAKE KOKOTE TANZANIA NA DUNIA NZIMA!!
+255 713 883 797

Wednesday, April 24, 2013

NJOONI VCCT JUMAPILI MUONE AMBAVYO "PAUL CLEMENT" AMEITWA NA KUFANYWA IBAADA!!!!

HUYU NI KIJANA ANAYEFANYA VIZURI SANA KATIKA NYIMBO ZA KUABUDU,NAAM BAADA YA KUNOLEWA KWA MUDA MREFU KATIKA KUNDI LA GLORIOUS WORSHIP TEAM SASA AMEPATA AMANI YA KUFANYA ALBUM YA KWAKE PEKE YAKE HUKU AKIIENDELEA KUWEPO HUKO ALIPO!!
BASI NJOONI WOTE TUMUUNGE MKONO NA KUMWABUDU BWANA KWA PAMOJA!!
TOKA MOYONI NATAMANI NISEME NAPENDA SANA MOYO WA UNYENYEKEVU WA KIJANA HUYU!!
MUNGU NA AMFIKISHE MBALI SANA!!!

Monday, April 22, 2013

JAMANI I WAS AWAY KIDOGO!!!

SHALOM!
HOPE YOU ARE DOING FINE!
THANK YOU ALL MY FRIENDS AND FANS ALL AROUND!
NILIKUWA MBALI KIDOGO NA MJI KWA MAPUMZIKO!!
SOON I WILL BE IN DAR!!!

TUKO PAMOJA!!!!!
tCHAOOOOOOO!!!

KING CHAVALA!!!

Friday, April 12, 2013

NASHUKURU SANA KUONGEA NA MABINTI KWA HABARI YA NGUVU WALIO NAYO KATIKA JAMII!!!


I AM MORE THAN A COMEDIAN MY FRIENDS!
INAPOFIKA SAA YA KUFUNDISHA NA KUSHAURI INAKUWA HIVYO KWELI NA KWA HAKIKA!!
BAADA YA KUFANYA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA NAAMINI SAA INAKUJA KWA MIKOA MINGINE TENA!!!

Friday, April 5, 2013

JUMAPILI HII NITAKUWA NAMSINDIKIZA BOMBY JOHNSON PALEEEE HEMANI VCCT!!!

HATIMAYE KIJANA MTULIVU BOMBY JOHNSON ATAKUWA ANAZINDUA ALBUM YAKE YA KWANZA YENYE NYIMBO NYINGI ZA KUABUDU INAYOKWENDA KWA JINA "YUPO MUNGU",NA TUKIO HILI KUBWA LITAFANYIKA JUMAPILI YA TAR 7 KUANZIA SAA TISA ALASIRI KATIKA HEMA LA VICTORY CHRISTIAN CENTRE TABERNACLE KWA KIINGILIO CHA TSH 5000/=KAWAIDA NA 30,000/=KWA TICKET MAALUM!
TAMASHA HILI LITAKUWA LIVE NA WAKALI WA TASNIA YA INJILI TANZANIA WATAKUWA WAKIMSINDIKIZA KIJANA HUYU!!
>>>NA MIMI NIMEPATA NAFASI YA KUWA MMOJA WA WATU WATAKAOHUDUMU KATIKA TAMASHA HILI LA UZINDUZI!!!
KARIBUNI SANA TUMUUNGE MKONO!!!

Wednesday, April 3, 2013

PASAKA HII "NIMEFURAHISHWA NA NGUVU YA KUFUFUKA KWAKE!!!"

Hello friends and fans!!!
What's up?
How was your Easter Weekend?
Hope everything went well with you!
MIMI BINAFSI NAMSHUKURU MUNGU SANA,MAANA WAKATI HUU WA EASTER AMENIWEZESHA KUKUTANA NA WANAFUNZI ZAIDI YA 2000 NA TUKAPATA NAFASI YA KUCHEKA PAMOJA!!
HAWA NI VIJANA TOKA MASHULE NA VYUO VYOTE VYA DAR ES SALAAM NA PWANI,HIVYO NAAMINI HAO WATAKUWA MABALOZI WAZURI SANA KOKOTE WATAKAKO KUWA,NIMEFURAHI SANA KUONGEZA WIGO WA MARAFIKI NA MASHABIKI!
SAFARI YANGU ILIANZIA IJUMAA KUU KULE KISARAWE-PWANI KATIKA SEMINARI YA KKKT YA KISARAWE,MAHALI AMBAPO ZAIDI YA WANAFUNZI 1000 WA UKWATA DAR-PWANI WALIKUSANYIKA KWA AJILI YA MKUTANO WA PASAKA!
King Chavala-MC
MC President CHAVALA
 NA KISHA JUMAMOSI NIKATUA BUNJU A,FANAKA MEMORIAL SECONDARY SCHOOL MAHALI AMBAPO WANA-CASFETA ZAIDI YA 500 WALIKUSANYIKA PIA KWA AJILI YA MKUTANO WA PASAKA,NA HAPO NAMSHUKURU MUNGU NILIPATA BAHATI YA KUSEMA NOW PIA!
CLOWN CHAVALA
 BASI SAFARI YANGU IKAISHIA HAPA TAFES-DSM KWENYE MKUTANO WA DTS(DISCIPLESHIP TRAINING SEMINAR) AMBAKO ZAIDI YA WANAVYUO 700 WALIKUTANIKA PAMOJA NAMI NILISHEREHEKEA NAO KUFUFUKA KWA YESU,NA ZAIDI TUKAPATA MUDA WA KUCHEKA SANA USIKU ULE WA PASAKA NA KUIMBA NYIMBO NYINGI!!
NAFURAHI SANA KUONA WIMBO WETU WA "SUPER SUPER" UNASHIKA KASI YA KUMAANISHA VINYWANI NA MIYONI WA WANAFUNZI WA VYUO VYA DAR ES SALAAM!!

THE FLYING STAND UP COMEDIAN OF OUR TIME,CHAVALA
KWA HAKIKA PASAKA HII ILIKUWA NJEMA MNO NA JUMATATU YA PASAKA NILIMALIZIA SHEREHE PALE VCCT KWA DR HURUMA NKONE NDANI YA IBAADA MAALUM YA SHANGWE IITWAYO "EASTER PRODUCTION"
NAYO ILIKUWA NJEMA MNO MAANA VIPAJI VYOTE VYA NDANI...RIVERS OF JOY INTERNATIONAL,AMANI KAPAMA,BOMBY ,JEFF,KING CHAVALA PAMOJA NA WAGENI DAMIAN,PAUL CLEMENT NA NEXT LEVEL CHINI YA USHEREHESHAJI WA PAPAA SEBENE!!
AHSANTENI SANA KWA WOTE MLIOHUSIKA KWA NAMNA ZOTE KUNIFANYA NIFURAHI PASAKA HII!!!

KARIBU SANA!

+255 713 883 797
Facebook; facebook.com/chavalapf
Twitter; @kingchavala