The Great MC and Stand up Comedian; Man of Smiles.....Natural Stress Healer......Man of Quality and Standards!! THE SERIOUS GUY ON LAUGHING AGAIN CONCERTS SERIES The pioneering founder and the King of Christian Stand Up Comedy in Tanzania!!! www.kingchavala.blogspot.com +255 713 883 797 lacs.project@gmail.com
Facebook Badge
Wednesday, July 9, 2014
Monday, June 9, 2014
COMING SOON ON 13TH JULY 2014......LAUGH AGAIN CONCERT....Chavala Hatimaye!!!!
Siku utakayoanza kupambana na Opinions za watu kuhusu wewe na ukasahau kuwa unazo Facts za kutosha kuhusu wewe mwenyewe, hapo ndio utakuwa umeacha kuishi maisha yako halisi na umeanza kuishi maigizo!!
Ukijitambua sawa sawa hutajitahidi kuishi ukiwaonyesha watu jinsi uishivyo ila utajitahidi kumpendeza Mungu na walimwengu sawa sawa na vipimio vya ki-Mungu!! Unapombana na binadamu mwenzio kwa sababu yeyote ile inaonesha kuwa wewe ni MUOGA na unadhani kupambana na wengine ndio kunaweza kukufanya uwe juu, Au huna jambo la maana la kufanya na ndio maana unapata hata muda wa kupambana na wenzio na Au ni Ujinga tu uliochanganyikana na utoto ambao mpaka ukutoke itachukua muda sana!!
Yaani kupigana au kushindana na mwenzio ni sawa na kijiko kiwe na ugomvi na uma au sahani igombane na flampeni kabatini la vyombo hali vyote viko chini ya mwenye nyumba na kila kimoja kimenunuliwa kwa kazi yake na mwenye navyo ndio huamua kipi kifanye nini,kikae wapi na kitupwe lini....sisi sote ni uumbaji wa Mungu,sasa tusemane au kupigana au kushindana ili iweje????/
Nina mengi sana ya kufanya na maisha yangu,yako mengi yananingoja kutimiza na naona muda hata haunitoshi, Ahsante mungu kwa afya njema na akili timamu na msimamo wenye nidhamu katika wewe!
MUHIMU KWA KILA MT:
Tumia muda wako vema na kila siku fanya bidii kutimiza ndoto zako, dini na ujinga havitakufikisha popote, hebu jitafakari tena unatumiaje muda wako!! na ukiona unatumia muda mrefu kufuatilia sijui nani kafanya nini na unatamani kama ungepambana basi ujue una matatizo na ukiendelea hivyo utapotea na kusahaulika kabisa!!!!
Serious people have serious issues to deal with and not other people!!
Think outside the box and be Yourself!!
Ukijitambua sawa sawa hutajitahidi kuishi ukiwaonyesha watu jinsi uishivyo ila utajitahidi kumpendeza Mungu na walimwengu sawa sawa na vipimio vya ki-Mungu!! Unapombana na binadamu mwenzio kwa sababu yeyote ile inaonesha kuwa wewe ni MUOGA na unadhani kupambana na wengine ndio kunaweza kukufanya uwe juu, Au huna jambo la maana la kufanya na ndio maana unapata hata muda wa kupambana na wenzio na Au ni Ujinga tu uliochanganyikana na utoto ambao mpaka ukutoke itachukua muda sana!!
Yaani kupigana au kushindana na mwenzio ni sawa na kijiko kiwe na ugomvi na uma au sahani igombane na flampeni kabatini la vyombo hali vyote viko chini ya mwenye nyumba na kila kimoja kimenunuliwa kwa kazi yake na mwenye navyo ndio huamua kipi kifanye nini,kikae wapi na kitupwe lini....sisi sote ni uumbaji wa Mungu,sasa tusemane au kupigana au kushindana ili iweje????/
Nina mengi sana ya kufanya na maisha yangu,yako mengi yananingoja kutimiza na naona muda hata haunitoshi, Ahsante mungu kwa afya njema na akili timamu na msimamo wenye nidhamu katika wewe!
MUHIMU KWA KILA MT:
Tumia muda wako vema na kila siku fanya bidii kutimiza ndoto zako, dini na ujinga havitakufikisha popote, hebu jitafakari tena unatumiaje muda wako!! na ukiona unatumia muda mrefu kufuatilia sijui nani kafanya nini na unatamani kama ungepambana basi ujue una matatizo na ukiendelea hivyo utapotea na kusahaulika kabisa!!!!
Serious people have serious issues to deal with and not other people!!
Think outside the box and be Yourself!!
Tuesday, April 22, 2014
HII NI SERIOUS KABISA, MWAKA HUU KING CHAVALA ANAOA!!
JUMATATU YA JANA NDANI YA HEMA KING CHAVALA AMEWEKA WAZI JINSI ILIVYOKUWA KWAKE CHANGAMOTO KUOA LAKINI HATIMAYE MWAKA HUU ANAOA, AMESEMA TAREHE 20 YA JULY NDIO ATAKUWA ANAMDHIHIRISHA MREMBO HUYO MBELA YA UMMA NA SIKU HIYO HIYO PIA ATAKUWA NA TAMASHA KUBWA KATIKA MFULULIZO WAKE WA MATAMASHA YA COMEDY....LAUGH AGAIN CONCERT....Chavala Hatimaye!!
BASI TUNGOJEE ILI TUJUE YUKO SERIOUS KWELI AU NI COMEDY AS USUAL!!!
BASI TUNGOJEE ILI TUJUE YUKO SERIOUS KWELI AU NI COMEDY AS USUAL!!!
Friday, March 14, 2014
LAUGH AGAIN CONCERT....Kicheko Vitani; yafana sana pande za ARUSHA!!!!
| King Chavala-MC |
| King Chavala; Tolla G na Rafiki mwingine |
| Richard Chidundo & King Chavala |
| Adeline pamoja na King Chavala na Richard Chidundo |
| LACS Team Arusha....Adeline & Huruma |
| Abeignego & Woshippers |
| Ukumbi ukiwa umefurika watu |
| Mzee Mbila, mshika dau na mlezi wa King Chavala, Arusha |
| Mama Upendo Mbila, Richard Chidundo, Abeidnego Hango na King Chavala |
| King Chavala & Upendo Mbilla |
| Shabiki wa Ukweli |
| Arusha Mass kwaya wakiwajibika vema |
| HApa ni Sebene tu kwa kwenda Mbele |
| MC Richard Chidundo akiwasilisha jukwaani |
WACHEKESHE SANA TU KIJANA....ANASEMA HATA KAMA SURA YAKO NI KAMA MTU MWENYE KICHEFUCHEFU,BADO UMEUMBWA KWA MFANO WA MUNGU.....
MIMI NA MIONDOKO YAKE TU NABARIKIWA!!!
| Mise Anael pia alikuwepo pamoja na Xaxaphone yake aiseee |
King Chavala akijiandaa kuingia jukwaani..je mko tayari????
| King Chavala-MC |
| King Chavala & Richard Chidundo |
| King Chavala on stage making it happen! |
UKIWAZA SANA UNAWEZA KUSEMA gOLIATH ALIPOOA ALIMVISHA MKEWE PETE KAMA TAIRI LA FUSO HAHAHAH LAKINI DAUDI ALIMTWANGA TU...
| Mashabiki na marafiki wakibadilishana mawazo na kupongezana!! |
| King Chavala & Dk Arnorld Itemba |
BASI BAADA YA HAPO TUMEMALIZA NA MPAKA HAPO BAADAE TENA!!!
UNA SWALI AU UNATAKA KUJUA LOLOTE ZAIDI, BASI USISITE
+255 713 883 797
lacs.project@gmail.com
Tuesday, March 11, 2014
Wednesday, February 19, 2014
LAUGH AGAIN CONCERT na KING CHAVALA ndani ya ARUSHA!!!
TAREHE 09/03/2014 NDANI YA UKUMBI WA KANISA LA BETHEL,KIGENGE HAPATATOSHA!!
WAATU WATASIFU NA KUABUDU NA KUCHEKA TENA NA TENA WAKIIFURAHIA INJILI YA BWANA!!
KING CHAVALA PAMOJA UPCOMING COMEDIANS FROM ARUSHA AND DAR,WATAHUDUMU JUKWAA MOJA PAMOJA NA THE VOICE OF TRIUMPH, THE WORSHIPERS, ARUSHA MASS CHOIR, PAMOJA NA FIREPLACE DANCE GROUP!!!
KWA HAKIKA MUNGU LAZIMA ATUKUZWE TU!!!
NI LAUGH AGAIN CONCERT....Kicheko Vitani!!(Season II,Episode II)
HAKUNA KIINGILIO
0713883797/0717567500
WAATU WATASIFU NA KUABUDU NA KUCHEKA TENA NA TENA WAKIIFURAHIA INJILI YA BWANA!!
KING CHAVALA PAMOJA UPCOMING COMEDIANS FROM ARUSHA AND DAR,WATAHUDUMU JUKWAA MOJA PAMOJA NA THE VOICE OF TRIUMPH, THE WORSHIPERS, ARUSHA MASS CHOIR, PAMOJA NA FIREPLACE DANCE GROUP!!!
KWA HAKIKA MUNGU LAZIMA ATUKUZWE TU!!!
NI LAUGH AGAIN CONCERT....Kicheko Vitani!!(Season II,Episode II)
HAKUNA KIINGILIO
0713883797/0717567500
Friday, January 31, 2014
NILIJISIKIA VIZURI SANA KUHUDUMU KATIKA USIKU "FRIDAY NIGHT LIVE" NDANI YA CALVARY TEMPLE,ARUSHA!!
HAPA NDIO MAHALI FRIDAY NIGHT LIVE HUFANYIKA,BWANA ALIWAPA MAONO NAO KWA HAKIKA WAMEYASHIKILIA NA KUYABEBA KWELI,SIACHI KUNYENYEKEA NA KUTOA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWA KUNIONA NAMI KUWA NAWEZA KUHUDUMU KATIKA MADHABAHU HIYO!!
HII NI SEHEMU YA WATU AMBAO WALIJAA NDANI MPAKA NJE KULIZUNGUKA KANISA USIKU KUCHA!!
NDANI TUKIENDA SAWA...HUKU NJE PIA KULIKWA NA VYAKULA VYA AINA MBALIMBALI USIKU KUCHA...
PASTOR PHILIP NAYE ALIKAA HUKU KAMA WAAMUNI WENGINE MARA NYINGI ILI NA YEYE AFAIDI VYA MADHABAHUNI!!
NELSON NI KIJANA MACHACHARI SANA NA HUYU ANAPIGA MAGITAA,KINANDA PAMOJA NA NGOMA!!
TIMU NZIMA YA KUMBUKUMBU ZA VIDEO NA PICHA MNATO HAWAKUWA NYUMA KUHAKIKISHA KILA KITU KINAREKODIWA IPASAVYO!!!
NA NDIPO ULE WASAA WANGU WA KUHUBIRI KUPITIA COMEDY ULIPOFIKA,NAAM NAMI NILIPOITWA NILIITIKA NA KUKIMBIA MADHABAHUNI,KAMA HAWAKUCHEKA BASI MATESO YAO NI ZAIDI YA MATESO YA MWENYE HAKI,NAAM YAMEZIDI KIPAJI CHANGU!!
JE UNAWEZA KUMWABUDU BWANA PAMOJA NAMI?.....Yekelekeleeeeee Aaaaahhaaaa......(slow)
NA MIMI PIA NILIPATA WAKATI WA KUHUDUMU KATIKA MADHABAHU HIYO NA KWA HAKIKA ULIKUWA WAKATI MZURI SANA!!
THE VOICE OF TRIUMPH NI MOJA YA TIMU AMBAZO ZILIHUDUHU USIKU HUO MAALUM,KWA HAKIKA WALIFANYA VIZURI SANA.....Ninakupendaaaaa Bwanaaaa Bwanaaaaa........
Abeidnego Hango ambaye pia alikuwa mshereheshaji(MC) Usiku huo, pia alipata kuhudumu pamoja na kundi lake linaitwa THE WORSHIPERS!
Nao kwa hakika walifanya vizuri sana.....Amka tumsifu........
USIKU HUO PIA WALIHUDUMU ARUSHA MASS CHOIR,PAMOJA NA KWAYA KADHAA ZA JIJINI ARUSHA NA HAIKUSAHAULIKA KWAYA YA WATOTO WA CALVARY TEMPLE!!
SHUKRANI ZA PEKEE KWA MCHUNGAJI PHILIP,NA WACHUNGAJI WENGINE WOTE PAMOJA NA UONGOZI WA KANISA KWA KUBEBA MAONO HAYA SAWASAWA!!
HII NI SEHEMU YA WATU AMBAO WALIJAA NDANI MPAKA NJE KULIZUNGUKA KANISA USIKU KUCHA!!
NDANI TUKIENDA SAWA...HUKU NJE PIA KULIKWA NA VYAKULA VYA AINA MBALIMBALI USIKU KUCHA...
PASTOR PHILIP NAYE ALIKAA HUKU KAMA WAAMUNI WENGINE MARA NYINGI ILI NA YEYE AFAIDI VYA MADHABAHUNI!!
NELSON NI KIJANA MACHACHARI SANA NA HUYU ANAPIGA MAGITAA,KINANDA PAMOJA NA NGOMA!!
TIMU NZIMA YA KUMBUKUMBU ZA VIDEO NA PICHA MNATO HAWAKUWA NYUMA KUHAKIKISHA KILA KITU KINAREKODIWA IPASAVYO!!!
NA NDIPO ULE WASAA WANGU WA KUHUBIRI KUPITIA COMEDY ULIPOFIKA,NAAM NAMI NILIPOITWA NILIITIKA NA KUKIMBIA MADHABAHUNI,KAMA HAWAKUCHEKA BASI MATESO YAO NI ZAIDI YA MATESO YA MWENYE HAKI,NAAM YAMEZIDI KIPAJI CHANGU!!
JE UNAWEZA KUMWABUDU BWANA PAMOJA NAMI?.....Yekelekeleeeeee Aaaaahhaaaa......(slow)
NA MIMI PIA NILIPATA WAKATI WA KUHUDUMU KATIKA MADHABAHU HIYO NA KWA HAKIKA ULIKUWA WAKATI MZURI SANA!!
THE VOICE OF TRIUMPH NI MOJA YA TIMU AMBAZO ZILIHUDUHU USIKU HUO MAALUM,KWA HAKIKA WALIFANYA VIZURI SANA.....Ninakupendaaaaa Bwanaaaa Bwanaaaaa........
Abeidnego Hango ambaye pia alikuwa mshereheshaji(MC) Usiku huo, pia alipata kuhudumu pamoja na kundi lake linaitwa THE WORSHIPERS!
Nao kwa hakika walifanya vizuri sana.....Amka tumsifu........
USIKU HUO PIA WALIHUDUMU ARUSHA MASS CHOIR,PAMOJA NA KWAYA KADHAA ZA JIJINI ARUSHA NA HAIKUSAHAULIKA KWAYA YA WATOTO WA CALVARY TEMPLE!!
SHUKRANI ZA PEKEE KWA MCHUNGAJI PHILIP,NA WACHUNGAJI WENGINE WOTE PAMOJA NA UONGOZI WA KANISA KWA KUBEBA MAONO HAYA SAWASAWA!!
Subscribe to:
Posts (Atom)

















